MAAJABU YA MWAAROBAINI, TIBA ASILI YA UHAKIKA

  Mwarobaini ni mti maarufu sana na unajulikana karibu kila mahali. icha ya kujulikana kila mahali mti huu una kivuli mwanana. Lakini jina h...

 



Mwarobaini ni mti maarufu sana na unajulikana karibu kila mahali. icha ya kujulikana kila mahali mti huu una kivuli mwanana. Lakini jina hili la mti huo limetokana na uwezo wake wa kutibu zaidi ya magonjwa arobaini. Ingawaje mti huu si majani wala mizizi ni mchungu mno kwa mtumiaji.

Lakini inasadikia kuwa mti huu asili yake imetokea nchini ondoa,  na pia ina uwezo mkubwa wa kustawi sehemu zenye ukame zaidi.  Kwa hapa Tanzania ukienda maeneo ya Dodoma utakubaliana na ukweli huu.

Labda tuangazie macho japo kwa uchache kwa kuona maajabu ya mti huu kama ifuatavyo.

1. Mwarobaini ni dawa ya kuua minyoo yote tumboni,
2. Hutubu homa, hasa zile homa za usiku
3. Mwarobaini hutibu kikohozi.
4. Mwili kuwaka moto.
5.kuharisha pamoja na tatizo la vidonda vya tumbo. Chukua majani ya mmea huu kisha yatafune bila kujali       uchungu yaliyo nayo.
6.Mwarobaini hutubu matatizo ya macho.

Ili kutibu matatizo ya macho Unachotakiwa kufanya ni kufuata maelekezo kama amabayo nitaeleza hapo chini.

7.magonjwa mbalimbali ya ngozi hutibika pia kwa kutumia mti huu wa mwarobaini.

Kwa kutibu magonjwa hayo na magonjwa mengineyo unachotakiwa kufanya:

Chemsha majani 40 ya mti wa mwarobaini kwa muda wa dakika kumi tano,  baadae acha mchanganyiko huo upoe, kisha chuja kwa ajili ya matumizi. Unaweza ukanywa mchanganyiko huu asubuhi na jioni. Kwa kiwango cha kikombe kimoja cha chai. Kikombe kimoja asubuhi na kingine jioni.

COMMENTS

Name

Afya,6,Audio,6,Haki kwa Imani,7,Mahubiri,6,Nyimbo,5,Ukweli TV,4,Ukweli wa Leo TV,1,Unabii,5,Video,5,
ltr
item
UKWELI WA LEO: MAAJABU YA MWAAROBAINI, TIBA ASILI YA UHAKIKA
MAAJABU YA MWAAROBAINI, TIBA ASILI YA UHAKIKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLx-Nx56GrJ672y2xpa_qV4kVqEZMi9ZH7leavS_IijgZOFszE3Nszbt5n4KyoDujmFRag-ciUYjGLb_uV9I-fQV_fAjuxPVDyib77ngp-gyICuEymQEXlDpzHujK3T7w0hdysNfWipmhXNfsph9MDlFYvfyeKxU88zG1s_b9BHwwMQWx1XxurFRpLpXdw/w580-h354/MWAAROBAINI.jfif
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLx-Nx56GrJ672y2xpa_qV4kVqEZMi9ZH7leavS_IijgZOFszE3Nszbt5n4KyoDujmFRag-ciUYjGLb_uV9I-fQV_fAjuxPVDyib77ngp-gyICuEymQEXlDpzHujK3T7w0hdysNfWipmhXNfsph9MDlFYvfyeKxU88zG1s_b9BHwwMQWx1XxurFRpLpXdw/s72-w580-c-h354/MWAAROBAINI.jfif
UKWELI WA LEO
https://www.ukweliwaleo.or.tz/2026/04/maajabu-ya-mwaarobaini-tiba-asili-ya.html
https://www.ukweliwaleo.or.tz/
https://www.ukweliwaleo.or.tz/
https://www.ukweliwaleo.or.tz/2026/04/maajabu-ya-mwaarobaini-tiba-asili-ya.html
true
4884488086819390285
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS PREMIUM CONTENT IS LOCKED STEP 1: Share to a social network STEP 2: Click the link on your social network Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy Table of Content